Baba Mtakatifu Francisko, Jumatano akitoa Katekesi kwa mahujaji na wageni alisema, Mama Kanisa anatufundisha kwamba, matendo ya huruma ni muhimu kwa ajili ya wokovu wetu. Lakini haitoshi kufanya mema kwa wale walio wema kwetu, kichotakiwa ni kwenda zaidi ya hao , kuwa wema hasa kwa wale wanaotuchukia. Hii ndiyo silaha ya kuleta mabadiliko duniani na katika kuwa na dunia iliyo bora zaidi. Ni lazima kufanya mema kwa wale ambao hawezi kuulipa wema wetu, kama vile Baba wa Mbinguni anavyotenda kwetu, kutupatia Mwanae Yesu Kristo anayetukomboa dhidi ya minyororo ya dhambi ".
PAPA FRANCIS: HURUMA NI SILAHA YA UWEPO WA DUNIA NZURI ZAIDI
Baba Mtakatifu Francisko, Jumatano akitoa Katekesi kwa mahujaji na wageni alisema, Mama Kanisa anatufundisha kwamba, matendo ya huruma ni muhimu kwa ajili ya wokovu wetu. Lakini haitoshi kufanya mema kwa wale walio wema kwetu, kichotakiwa ni kwenda zaidi ya hao , kuwa wema hasa kwa wale wanaotuchukia. Hii ndiyo silaha ya kuleta mabadiliko duniani na katika kuwa na dunia iliyo bora zaidi. Ni lazima kufanya mema kwa wale ambao hawezi kuulipa wema wetu, kama vile Baba wa Mbinguni anavyotenda kwetu, kutupatia Mwanae Yesu Kristo anayetukomboa dhidi ya minyororo ya dhambi ".
0 blogger-facebook:
Post a Comment