728x90 AdSpace

­
Latest News
September 10, 2014

MWANAFUNZI AKAMATWA NA RISASI BWENINI


   
Mwanafunzi aliyejulikana kwa jina la Fahad Nassoro mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa mwananyamala anaesoma kidato cha 3 katika shule ya Sekondari ya kiislamu ijulikanayo kwa jina la Al-faruq Islamic seminary iliyoko Tabata jijini Dar es Salaam amekutwa na risasi 7 bwenini kwake na baada ya ufuatiliaji wa kina risasi zingine 48 zilipatikana na bunduki aina ya shot gun moja.


KWA HABARI ZAIDI UNGANI NASI KWA KU-LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK.. Bonyeza hapa.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 blogger-facebook:

Post a Comment

Item Reviewed: MWANAFUNZI AKAMATWA NA RISASI BWENINI Rating: 5 Reviewed By: Unknown