728x90 AdSpace

­
Latest News
September 1, 2014

Askofu Onesphory Mkude wa Jimbo Katoliki Morogoro akutana na Daktari bingwa wa Ugonjwa wa Saratani ya Matiti

 Nyumba ya maombi ya baba Askofu Onesphory Mkude iliyopo mkoani humo.
 Baba Askofu Onesphory Mkude akizungumza na Profesa Pais na Ujumbe wake
 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, James Rugemalira aliyemleta Profesa Pais hapa nchini kuja kuona namna ya kusaidia mchakato huo akizungumza na baba Askofu Onesphory Mkude.
 Baba Askofu Onesphory Mkude akimsikiliza kwa makini Profesa Pai  wakati akimuelekeza mambo mbalimbali.
  Baba Askofu Onesphory Mkude akizungumza na ujumbe huo.
 Baba Askofu Onesphory Mkude (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe huo. Kutoka kulia ni Dk.Fred Limbanga, Profesa Pais, Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira na Msaidi wa Baba Askofu, Father Moses.
 Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akimsisitizia jambo Baba Askofu Onesphory Mkude.



  Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akiagana na  Baba Askofu Onesphory Mkude. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akizungumza na Father Moses pamoja na Profesa Pais na Dk.Fred kabla ya kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma.
Baba Askofu Onesphory Mkude akitafakari jambo na Dk.Fred Limbanga
 
Mmiliki wa Mtandao wa www.habari za jamii.com, Dotto Mwaibale (wa pili kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Baba Askofu Mkude na ujumbe huo.



Msaidizi wa Askofu Mkude, Father Moses akionesha eneo ambalo wanaona linafaa kujenga kituo hicho baada ya mchakato kukamilika
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 blogger-facebook:

Post a Comment

Item Reviewed: Askofu Onesphory Mkude wa Jimbo Katoliki Morogoro akutana na Daktari bingwa wa Ugonjwa wa Saratani ya Matiti Rating: 5 Reviewed By: Unknown