728x90 AdSpace

­
Latest News
July 20, 2014

MIGONGANO YA HISIA:-WAUMINI WA KANISA LA MORAVIANI WAZUA TIMBWILI.

WAUMINI wa Kanisa la Moravian lililopo Kinondoni-Msisiri jijini Dar, jana (Julai 19,2014) jioni walifanyiana timbwili na wenzao waliojitenga kwenye kanisa hilo kitendo kilichopelekea askari polisi kuingilia kati na kutuliza ghasia hizo.

 Baada ya vurugu za jana, leo asubuhi waumini hao wameendelea kufanyiana ubabe hali iliyowalazimu polisi kufika tena kanisani hapo na kuwasomba watuhumiwa wote na kuwapeleka Kituo cha Polisi Oysterbay, Dar kwa mahojiano zaidi.

(PICHA/HABARI: RICHARD BUKOS / GPL)
......Waumini wa Kanisa la Moravian wakizozana wakati wa vurugu hizo......

.................Gari la polisi likiwasili eneo la kanisa....................

.........Wananchi wakishuhudia timbwili hilo.............................

..........Gari la polisi likiwa nje ya kanisa hilo kutuliza ghasia...................

....................Geti la kanisa likifungwa baada ya vurugu hizo..................

.............Kanisa la Moravian lililopo Kinondoni-Msisiri jijini Dar es Salaam.......
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 blogger-facebook:

Post a Comment

Item Reviewed: MIGONGANO YA HISIA:-WAUMINI WA KANISA LA MORAVIANI WAZUA TIMBWILI. Rating: 5 Reviewed By: Unknown